Additional information
| Full Title | Manyanza: Penzi la Damu 1st Edition |
|---|---|
| Author(s) | Anna Manyanza |
| Edition | 1st Edition |
| ISBN | 9789987080182, 9789987753680 |
| Publisher | Mkuki Na Nyota Publishers |
| Format | PDF and EPUB |
Original price was: $62.37.$24.99Current price is: $24.99.
Access Manyanza: Penzi la Damu 1st Edition Now. Discount up to 90%
Before checkout, confirm the ISBN, author, publisher, and edition match your course requirements. Secure payment and support are available at support@textbookfind.com.
| Full Title | Manyanza: Penzi la Damu 1st Edition |
|---|---|
| Author(s) | Anna Manyanza |
| Edition | 1st Edition |
| ISBN | 9789987080182, 9789987753680 |
| Publisher | Mkuki Na Nyota Publishers |
| Format | PDF and EPUB |
Mstahamilivu hula mbivu, mtaka cha uvunguni sharti ainame, na mchumia juani hulia kivulini. Ni machache ya maadili yamuongozayo binti Malaika katika safari yake ya kutimiza ndoto zake. Kujiendeleza kielimu ndiyo ndoto yake kuu. Kwa vile Mungu hamtupi mja wake, anabahatika kwenda ughaibuni kitaaluma. Ni safari inayomtenganisha na mpenzi wake, Ben. Lakini Ben anaahidi kumsubiri hadi afuzu masomo yake. Katika kipindi hiki cha utengano, dunia inawapangia mambo mengine kabisa, ni utengano unaotishia kulisumu penzi lao. Majaribu hayeshi, vishawishi ni vingi. Penzi lao linayumba, linatishia kudumbukia kwenye dimbwi la damu. Lakini Malaika haliachii penzi lake kwa Ben, analipigania kishujaa. Ben pia anaingia vitani kulipigania penzi la Malaika. Je, watashinda vita hivi vya kimapenzi?